Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TASWIRA ZAIDI ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA NCHINI

 




 Jaji Mkuu Othumani Chande akikagua gwaride la FFU.


 Viongozi wa Dini.


 Jaji Mkuu wa Tanzania Othumani Chande (kulia) akiongozana na Jaji Fakhii Jundu(wa pili kushoto) Spika wa Bunge Anne Makinda (wa pili kulia) na Mkuu wa Wilaya Ilala Raymond Mushi(kushoto).


 Rais Jakaya Kikwete,akipokewa na Jaji Mkuu Othumani Chande.



  Rais Jakaya Kikwete,akipokewa na Jaji Mkuu Othumani Chande.pamoja na Spika wa Bunge Anne Makinda (kulia).


  Rais Jakaya Kikwete,akipokewa na Jaji Mkuu Othumani Chande wakiteta.


  Rais Jakaya Kikwete,akizungumza na Jaji Mkuu Othumani Chande pamoja na Waziri wa Katiba na Sheria Dk,Asha Roze Migiro.


Viongozi mbalimbali wa Kitaifa wakifuatilia jambo wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top