Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa Jukwaa la
Ardhi Tanzania,Kauli mbiu yake ni Ardhi yetu ,Watu wetu na Urithi wetu.
Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akizindua Jukwaaa la Ardhi Tanzania katika ukumbi wa
PSPF .kutoka kushoto ni Muhashamu Askofu mkuu wa Kanisa la Kiinjili la
Kilutheri Tanzania ,Alex Malasusa na kulia na Shekhe Ally kutoka Mkoa wa
Tanga .
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Askof Alex
Malasusa akimkaribisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda katika ukumbi wa PSPF
kwa ajili ya Uzinduzi wa Jukwaa la Ardhi Tanzania .Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu


Post a Comment