Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Alichopost Samuel Eto’o Instagram kuhusu yeye na Didier Drogba

 

628x471Mshambuliaji wa Chelsea na timu ya taifa ya Cameroon Samuel Eto’o ambaye alikuwa mmoja wa wafungaji wa mabao mawili ya Chelsea yaliyowaondoa Galatasary katika michuano ya UEFA Champions League jumanne iliyopita amepost picha kwenye mtandao wa Instagram akiwa pamoja na mshambuliaji Didier Drogba – ambaye amekuwa mpinzani wake kwa muda mrefu katika medani za soka barani Afrika.
Eto’o alipost picha akiwa na Drogba na kuandika ujumbe wa kuonyesha uimara wa mahusiano yao pamoja na kuwa na upinzani kwenye soka.
etoo copy
Eto’o aliandika kifaransa: “Deux enfants d’une meme mère,…Mama Africa!!!”
Ambapo tafsiri yake ni “Watoto wa mama mmoja….Mama Africa!”
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top