Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

HAWA NDIO WENYEVITI WA KAMATI MPYA ZA BUNGE LA KATIBA WALIOCHAGULIWA BUNGENI MJINI DODOMA!!


Wenyeviti wa kamati za bunge waliochaguliwa leo hawa hapa:

1. Hamad Rashid
2: Christopher ole sendeka
3: Shamsi vuai nahodha
4: Anna Abdallah
5: Job Ndugai
6: Anna Kilango malecela



=========

Kamati Namba Moja:
Mwenyekiti ni Ummy Mwalimu, Makamu Mwenyekiti ni Profesa Makame Mnyaa Mbarawa.

Kamati Namba Mbili:
Mwenyekiti ni Shamshi Vuai Nahodha, Makamu Mwenyekiti ni Shamsha Mwangunga.

Kamati namba tatu:
M/kiti ni Francis Michael, Makamu ni Fatma Musa Juma.

Kamati namba nne:
Mwenyekiti ni Christopher ole Sendeka na Makamu ni Dk. Sita Mamboya.

Kamati namba tano:
Mwenyekiti ni Hamad Rashid Mohamed na Makamu ni Assumpter Mshama

Kamati namba sita:
Mwenyekiti ni Stephen Wassira na Makamu ni Dk. Maua Dftari.

Kamati namba saba:
Mwenyekiti ni Brigedia Jenerali (mstaafu) Hassan Ngwilizi na Makamu ni Waride Bakar Jabu.

Kamati namba nane:
Mwenyekiti ni Job Ndugai, Makamu ni Biubwa Yahya Othman.

Kamati namba tisa:
Mwenyekiti ni Kidawa Hamid Salehe na Makamu ni William Ngelleja.

Kamati namba 10:
Mwenyekiti ni Anna Abdallah, Makamu ni Salim Hawadhi Salim.

Kamati namba 11:
Mwenyekiti ni Anna Killango, Makamu ni Yusuf Hamad Masauni.

Kamati namba 12:
Mwenyekiti ni Paul Kimiti na Makamu ni Thuwayba Edington Kisasi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top