Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Hivi ndivyo Rose Ndauka, Meya Silaa na wasanii wengine walivyosafisha Jiji

SAM_3740
SAM_3748
Hii ni kampeni ya Rose Ndauka ambayo kaipa jina la Ng’arisha Tanzania inayohamasisha kuweka jiji la Dar es salaam katika hali ya usafi na kupendeza ambapo kampeni hii inahusisha kufagia baadhi ya mitaa katika manispaa ILALA  ili kuzoa taka na kuzitupa maeneo husika.
Kampeni ilianza majira ya saa moja asubuhi na kumalizika saa 3 asubuhi baada ya hapo ukafanyika uzinduzi wa jiko la kuchomea taka mtaa wa Lumumba katika Manispaa ya Ilala ikiwa ni kama ishara ya kuhamasisha raia wote Kuamka na Kubadilika na kuonyesha mapenzi kwa kuweka miji katika hali safi kwa kusafisha maeneo wanayoishi.
Hizi ni baadhi ya picha za mastar mbalimbali wa Tanzania walivyojumuika na Rose Ndauka katika kampeni hii.
SAM_3746
SAM_3740
SAM_3738
DSC_8741_1
DSC_8763
DSC_8781
DSC_8741
DSC_8737
Meya wa Ilala Jerry Silaa.
DSC_8721_1
 
 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top