Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

HOSPITALI YAFURIKA KWA MAJI YA CHOONI WODINI


 Huu ni mtaro wa kupitisha maji taka ambao umepita kati kati ya Hospitali ya Palestina amapo ulifumuka na kusababisha kusambaa kwa maji machafu katika kila kona ya Hospitali hiyo


 Mmoja wa wagonjwa akiwa anangojea kupata huduma baada ya mvua hiyo kubwa kwisha


 Haya ni maji machafu ambayo yametapakaa kila sehemu ya hospitali


 Kushoto ni Mgonjwa akiwa amelala juu ya Benchi ambapo pembeni kuna maji na matope ambayo yamechanganyikana na kinyesi kutoka katika vyoo mbalimbali katika makazi ya watu.


 Hii ndio hali halisi ya Chemba hii ambayo ipo ndani ya Hospitali ya  Sinza Palestina


 Hizi ni chemba zaidi ambazo zipo nje na pia zimeungana na zilizopo ndani ya Hospital hiyo


 Wagonjwa zaidi wakingojea waganga kufika pia kumalizia kusafishwa kwa vyumba hivyo ili wapate hudumiwa


 Moja ya Chumba ambacho kilikuwa kimejaa tope kikingojea kusafishwa


 Hapa hata hapapitiki


 Baadhi ya viti vikiwa vimeegeshwa kwa ajili ya kungoja kufanya usafi


 Hakuna mtu katika maeneo haya kutokana na mvua kubwa iliyonyesha





 Kila kitu kimekaa hovyo hovyo baada ya mvua kubwa hiyo kunyesha


 Baadhi ya vifaa vya kutibia wagonjwa vikiwa juu ya moja ya kitanda cha kutibia wagonjwa huku watu wakingoja huduma ya matibabu.


 Huu ndio Mtaro wa maji machafu ambao hupitisha maji,lakini wakati wa mvua kubwa ukishindwa kupokea maji yanaingia ndani ya Hospitali

Picha zote na Dar es salaam yetu
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top