Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Maalim Seif Awasili Miji Dodoma kuhudhuria Mkutano wa Ufunguzi waBunge Maalum la Katiba kesho


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Mbunge wa Mji Mkongwe Mhe. Ibrahim Sanya, baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif amewasili Mjini Dodoma kwa ajili ya kuhudhuria uzinduzi wa Bunge Maalum la Katiba utakaofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

Katka uwanja wa ndege wa Dodoma, Maalim Seif amepokelewa na viongozi wa Mkoa huo pamoja na Wabunge, Wawakilishi na viongozi mbali mbali wa CUF.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na viongozi mbali mbali, baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na viongozi mbali mbali, baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma. (Picha na Salmin Said, OMKR)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top