Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MOURINHO AMVAA BALL BOY



Kocha Jose Mourinho amesema alimvaa Kocha Jose Mourinho kwa kuwa aliamua kumshauri kama kijana wake.

Mourinho alisema aliamini kijana huyo muokota mipira alikuwa akifanya kitu ambacho si sahihi, kama mzazi alipaswa kumueleza.
“Ilikuwa ni lazima kutoa mafunzo, mimi ni mzazi na kama kijana anafanya tofauti na kawaida, basi ni muhimu kumueleza jambo,” alisema.

Mourinho alimfuata kijana huyo kwa kasi wakati alipochelewesha mpira, akainama na kuanza kumnong’oneza, hata hivyo hakusema alimueleza nini ingawa baada ya kuzungumza naye, mtoto huyo alionyesha kutikisa kichwa kama alielewa kitu fulani.

Chelsea ambayo inachuana na Liverpool, Man City na Arsenal kuwania ubingwa England, ilitibua mambo baada ya kuchapwa bao 1-0 dhidi ya Crystal Palace.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top