Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

RAIS KIKWETE AWASILI MJINI DODOMA LEO, AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI, KESHO KUZINDUA BUNGE MAALUM LA KATIBA


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, akisalimiana na Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal, baada ya kuwasili katika ukumbi wa Tamisemi kwa ajili ya kuongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri mjini Dodoma leo mchana. Rais  kesho anatarajiwa kulizindua rasmi na kulihutubia Bunge Maalum la Katiba katika ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha baraza la Mawaziri mjini Dodoma leo mchana.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) na Waziri wa Afrka Mashariki, Samuel Sitta, wakiwa katika kikao hicho.
 Kutoka (kulia) ni Nibu Waziri, Amos Makala, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene, Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella na Waziri wa Afya, Rashid, wakiwa katika Kikao hicho.
 Baadhi ya Mawaziri wakiwa katika kikao hicho.
Baadhi ya Mawaziri wakiwa katika Kikao hicho. Picha na  Freddy Maro
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top