Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TAZAMA PICHA ZA SHEIKH PONDA ALIPOFIKISHWA MAHAKAMANI JANA

Ponda akiwa ndani ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana.
Ponda akiteta jambo na askari Magereza.
...Akiwa na mwanasheria wake.
...Akitolewa nje ya mahakama.
Afisa  magereza na polisi wakijadili jambo nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Ulinzi ulivyokuwa mahakamani.
Sheikh Ponda akiingizwa kwenye basi.
Afisa wa polisi akifanya mawasiliano kuimarisha ulinzi.
Wafuasi wa Ponda  wakiwa mahakamani.
Polisi wakiwa wamedhibiti barabara wakati wa kuondoka kwa Shehe Ponda.


Wakili wa Ponda, Juma Nassoro, akifanya mahojiano na wandishi wa habari nje ya mahakama.(PICHA NA HARUN SANCHAWA NA GABRIEL NG'OSHA/GPL)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top