Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

UKISIKIA "KUNYONGOROTA" NDIO HUKU ... JAMAA ASHUSHA BENDERA YA TAIFA ILIYOKUWA MAHAKAMANI NA KWENDA KUJIFUNIKA NAYO KAMA SHUKA NYUMBANI KWAKE


Habari zizizoufikia mtandao huu kutoka Rorya Mkoani Mara ni kwamba, mtu ambaye jina lake halijapatikana mara moja, ameenda kwenye mahakama ya wilaya, akapanda kwenye mlingoti na kuishusha bendera  ya taifa, kisha akaondoka nayo nyumbani na kuifanya shuka la kujifunikia.
Tayari mtuhumiwa huyo amekamatwa na sasa yupo Rumande akisubiria hatma yake
Chanzo:RFA _Matukio.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top