Mkuu
wa Wilaya mjini Unguja ,Bw Abdul Mahmood Mzee (katikati) akisalimiana
na Bw Charles David wa USAID na Bi Rebecca Savoure Mkurugenzi mkazi wa
USAID Tuboreshe Chakula katika viwanja vya Karakana Unguja,wakati wa
uhamasishaji juu ya umuhimu na faida za Virutubishi kwa watoto umri wa
miezi 6 – miaka 5.Kampeni hizi zimefanyika katika wilaya 8 za Tanzania
bara na 2 za visiwani
Mkuu
wa mkoa Mjini Magharibi Unguja,Bw Abdallah Mwinyi Khamis (Kushoto)
akibadilishana mawazo na Mkurugenzi mkazi wa USAID Tuboreshe
chakula(kulia) Bi Rebecca Savoure wakati wa uzinduzi wa kampeni za
uhamasishaji virutubishi kwa watoto umri wa miezi 6-miaka5,kiwa ni
mkakati wa Serikali ya Tanzania,ikishirikiana na USAID Tuboreshe Chakula
kupunguza utapiamlo nchiniLoading...
USAID yatoa elimu ya lishe Zanzibar
BLOG RAFIKI
-
-
-
-
-
-
-
Alfajiri3 months ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-


Post a Comment