Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika
mkutano wa hadhara uliofanyika leo Aprili 5, 2014, katika bustani ya
Uwanja wa Nelson Mandela, mjini Sumbawanga, mwishoni mwa ziara yake
mkoani Rukwa
Mkurugenzi
wa Majisafi na Majitaka Sumbawanga (SUWASA), mkoani Rukwa, Antipas
Shirima akimpatia maelezo Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuhusu
ujenzi wa tanki la lita milioni moja za majisafi linalojengwa katika
mradi wa SUWASA unaotarajiwa kumalizikama Machi 7, mwakani (2015).
Kinana yupo mjini Sumbawanga akiwa katika ziara ya siku sita mkoani
Rukwa.
Mkurugenzi wa Majisafi na Majitaka Sumbawanga (SUWASA), mkoani Rukwa,
Antipas Shirima akimpatia maelezo Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
kuhusu ujenzi wa tanki la lita milioni moja za majisafi linalojengwa
katika mradi wa SUWASA unaotarajiwa kumalizikama Machi 7, mwakani
(2015). Kinana yupo mjini Sumbawanga akiwa katika ziara ya siku sita mkoani Rukwa.
Mkurugenzi wa Majisafi na Majitaka Sumbawanga (SUWASA), mkoani Rukwa,
Antipas Shirima akimpatia maelezo Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
kuhusu ujenzi wa bwawa la maji taka linalojengwa
katika mradi wa SUWASA unaotarajiwa kumalizikama Machi 7, mwakani
(2015). Kinana yupo mjini Sumbawanga akiwa katika ziara ya siku sita mkoani Rukwa.
Kinana
akionyeshwa mtandao wa huduma za usambazaji maji Sumbawanga
utakavyokuwa. Anayempa maelezo ni Ngainayo Colman wa SUWASA. Picha zote
na Bashir Nkoromo wa CCM Blog
Post a Comment