Na Martha Magessa
Sheikh
Abeid Amani Karume alikuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar. Alizaliwa mwaka
1905 na kufariki tarehe 7 Aprili 1972kwa kupigwa risasi.
Karume aliongoza mapinduzi yaliyomwangusha Sultani aliyekuwa akitawala Zanzibar hapo mwaka 1964.
Baada ya miezi mitatu Zanzibar iliungana na Tanganyika iliyokuwa ikiongozwa na Mwalimu Nyerere.
Hata
hivyo muungano wa nchi hizi mbili uliozaa jina la Tanzania, Karume
alikuwa makamu wa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Post a Comment