Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MKUTANO WA KINANA MWEMBEYANGA WAWEKA HISTORIA


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wakazi wa Dar es Salaam kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga.
 Wananchi waliohudhuria mkutano huo, uliofanyika juzi,  kumpongeza Rais
Jakaya Kikwete kwa hotuba yake aliyoitoa wakati wa kuzindua Bunge Maalum la
katiba,linaloendelea mjini Dodoma.


 Kinana akionyesha kadi ya Chadema aliyokabidhiwa na Ramadhan (kushoto).
 Wananchi wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe maalumu.

 Balozi Ali Abeid Karume, akizungumza katika mkutano huo

 Mwenyekiti wa Chama cha SDF cha Cameroun, John Frundi, akizungumza katika
mkutano huo. Kushoto ni Kinana na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es
Salaam, Ramadhan Madabida.

 WANACHAMA wa CCM, wakimpongeza Kinana kutokana na juhudi zake katika
kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.

Baadhi ya wajumbe waalikwa waliohudhuria mkutano huo.


Picha zote na Khamis Hama
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top