Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

PICHA ZA AJALI YA BASI LA SMART ENEO LA LUGOBA AMBAPO WATU 2 WAMEFARIKI DUNIA

 

Basi la smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba
Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza fahamu baada ya kupata mshtuko
Watu wawili Wamefariki Dunia Kutokana na Ajali ya Basi la Smart Asubuhi Ya leo.
Basi
Hilo Lililokuwa likitokea Jijini dar es salaam Kuelekea Mombasa Nchini
Kenya Limeacha Njia Na Kupinduka na Kusababisha Vifo vya watu Wawili
pamoja na Kujeruhi abiria wanaokadiriwa kufika 20 .Ajali hiyo imetokea katika Eneo la
Mkata na Lugoba  Barabara Kuu ya Chalinze Segera.PICHA NA HABARI NA DJ SEK BLOG
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top