Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TAHADHARI..UWIZI WA KITOTO KATIKA MA-BANK

 


Kuna wizi unafanyika kwenye mabenk kwa kweli unatia aibu na kujidhalilisha tu.

Nilikua mlimani city natoa pesa kwa ajili ya kumtumia jamaa yangu yuko Exim bank mimi niko CRDB, Basi nkatoa pesa CRDB nkaenda pale EXIM mlimani city hapohapo, Nkahudumiwa na kijana wa dirisha la kwanza toka mlango wa kuingilia. 

Basi nkamkabidhi jamaa hela kama milioni tatu,akahesabu ziko sawa nkampa karatasi ya deposit akaangalia kwenye desktop yake then akanambia hiyo akaunt(ya jamaa ninaye mtumia) iko dormant jamaa hakuitumia muda mrefu, basi jamaa akanirudishia hela zangu, unfortunately muda wa kufunga bank ulikua umefika, nlikua katika watu wa mwisho kuhudumiwa. 


Basi nkatoka nkampigia jamaa na kumweleza hali halisi, jamaa akakataa na kusema jana tu alitoa pesa kwenye akaunt yake, nkamwambia nakutumia kwa tigo pesa akakubali. Nkaingia ofisi za tigo pesa hapohapo mlimani city, nkaweka folen. nlipompa cashier ahesabu zimepungua kama elfu 80. nlikasirika sana, kurudi kule washafunga, basi ikala kwangu.

Ila yule jamaa nimemkariri nkikutana nae lazima nimseme na njaa za kitoto.Hivyo wakuu kosa nililofanya ni kumuamini aliponipa sikuhesabu. kuwenu makani na hawa watu.

By dikembe CHANZO:UDAKU BLOG
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top