Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

VITUKO KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA

 
Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiwa wamesimama kwa nyakati tofauti tofauti wakimkatiza Mwenyekiti wa Kamati namba 1, Mh. Ummy Mwalimu wakimtaka Mwenyekiti wa Bunge amtake Ummy Mwalim kusoma mapendekezo ya kamati badala ya kuwasilisha kwa mfumo wa kutosoma.

Mwenyekiti wa Kamati namba 1,Mh. Ummy Ally Mwalimu akiwasilisha mapendekezo ya kamati yake leo wakati wa muendelezo wa vikao vya Bunge la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma.





Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top