Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BOB JUNIOR AKANUSHA TETESI ZA GAZETI LA UDAKU KUWA KAMLOGA DIAMOND PLATNUMZ


Msanii wa muziki na producer wa Sharobaro Record, Bob Junior amekanusha habari zilizoandikwa na gazeti la udaku la Maskani kuwa anamloga Diamond. 
bob Amesema hawezi KUfanya kitu kama hicho na Diamond atabaki kama Diamond na yeye kama yeye. 
"Niupu....vu kuandika kitu kama hicho, nani mambo ya ki..nge,mimi nimekasirika sana,huwezi andika kitu kama hicho. Hivi mimi naweza nikamloga Diamond,unajua Diamond atabaki kuwa Diamond na Bob Junior atabaki kama Bob Junior,huu wote ni uongo tu,sipendi kuyaongelea haya mambo na sina tatizo na mtu yoyote," amesema. Pia Bob Junior alizungumzia tuhuma za kuhusisha muziki wake na waganga wa kienyeji. 
 bob
"Sijawai kujihusisha na masuala ya waganga,mimi nimelelewa katika familia ambayo hata simjui mganga. Nashukuru Mungu toka nimezaliwa mpaka hapa. 
Sehemu kubwa yaani nasaidiwa na wazazi wangu vizuri mpaka ikafika wakati najitegemea mwenyewe. 
Kwahiyo sijui chochote kuhusu suala la mganga."
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top