Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MWIMBAJI WA MUZIKI WA DANSI HAPA NCHINI AMINA NGALUMA AFARIKA DUNIA.

Mmoja wa Waimbaji nyota wa muziki wa dansi waliowahi kuwika haka nchini,amefariki dunia muda mfupi uliopita.

Mwimbaji huyo aliyetamba sana na band ya Tam Tam na Double M iliyokuwa ikiongozwa na Mwanamuziki nyota pia wa muziki wa dansi hapa nchini Muumin Mwinjuma,amefia nchini Thailand alikokuwa akifanya kazi kwa muda mrefu.

Mtu mmoja wa Karibu na Amina Ngaluma,Mwanahamis Omary wa jiji Dar ameiambia Saluti5 kuwa mwimbaji huyo amefariki baada ya kuugua kwa siku kadhaa

Moja ya nyimbo zilizompatia sifa nyingi mwimbaji huyo ni Mgumba No 1 aliouimba akiwa bendi ya African Revolution a.k.a Tam Tam chini ya Muumin Mwinyjuma a.k.a Kocha wa Dunia.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAHALI PEMA PEPONI -AMEN
Chanzo hapa
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top