Na Mayasa Mariwata
STAA wa filamu za
Kibongo, Aunt Ezekiel amewaasa Waislamu wote kumrudia Mungu katika Mwezi
Mtukufu wa Ramadhani kama atakavyofanya yeye ambapo atauanzia mfungo
Bongo na kumalizia Dubai.
Akizungumza na paparazi wetu, Aunt alisema ameamua kufunga Ramadhani nchini na kumalizia Dubai kama ishara ya kumkumbuka mumewe aishie Dubai.
“Kama mnavyojua mume wangu yupo kule achana na maneno yote yanayosemwa juu ya mume wangu lakini ukweli ni kwamba yeye anaishi kule hivyo lazima nikamalizie huko mfungo,” alisema Aunt.GPL
Staa wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel
Akizungumza na paparazi wetu, Aunt alisema ameamua kufunga Ramadhani nchini na kumalizia Dubai kama ishara ya kumkumbuka mumewe aishie Dubai.
“Kama mnavyojua mume wangu yupo kule achana na maneno yote yanayosemwa juu ya mume wangu lakini ukweli ni kwamba yeye anaishi kule hivyo lazima nikamalizie huko mfungo,” alisema Aunt.GPL
Post a Comment