|
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro
,SACP,Robert Boaz akitoa dawa za kulevya katika mikoba ya kike ambayo
imekamatwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro
KIA. |
|
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro
,SACP,Robert Boaz akiwaonesha waandishi wa habari(hawako pichani)moja
ya mikoba iliyotumika kufichia dawa za kulevya kwa ustadi
mkubwa. |
|
Dawa za Kulevya ambazo hazijafahamika ni
aina gani zikiwa katika mifuko maalumu. |
|
Baadhi ya waandishi wa habari mkoa wa
Kilimanjaro wakimsikiliza kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro wakati
akitoa taarifa juu ya kukamatwa kwa dawa za kulevya katika
uwanja wa ndege wa Kilimanjaro KIA. |
on Thursday, June 26, 2014
Post a Comment