Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WEZI WAIBA BEGI LENYE CHATU WAKIDHANI NI PESA JIJINI DAR, WATIMUA MBIO NA KUMTELEKEZA

 

Dar: Wezi waiba begi lenye chatu wakidhani pesa Mwenye nia mbaya anaweza kudhani amepata kumbe amepatikana, anaweza ukadhani kila siku atapiga bingo kama hatakamatwa na raia kumbe mzigo alioiba unaweza kugeuka fimbo na hatari kubwa kwake hata bila kukamatwa.
Watu wasiojulikana wanasadikika kuiba begi kubwa maeneo ya Sinza, Dar es Salaam wakidhani begi hilo lina pesa na badala yake wakakutana na chatu mkubwa walipolifungua.
Wakazi wa Sinza walimkuta chatu huyo katika daraja akiwa karibu na sanduku hilo linaloaminika kuwa lilimbeba chatu huyo. 
Inaelezwa kuwa wezi hao walilitupa begi hilo na kutokomea pasipojulikana baada ya kuona mambo yamekuwa ndivyo sivyo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top