Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ABIDAL ATUA KWA MABINGWA WA UGIRIKI

BEKI Eric Abidal amejiunga na na mabingwa wa Ugiriki, Olympiacos siku kadhaa baada ya kusaini mkataba mpya na Monaco.
Mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 34 alisaini Mkataba mpya wa mwaka mmoja na timu hiyo ya Ligue pamoja na beki mwenzake, Ricardo Carvalho Alhamisi.
Akiwa ameichezea mechi 29 Monaco msimu uliopoita tangu ajiunge nato akitokea Barcelona, Abidal sasa anahamia Ugiriki.
Kifaa kipya: Eric Abidal amejiunga na mabingwa wa Ugiriki, Olympiakos akitokea Monaco
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top