Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AINA 3 ZA MICHEPUKO BONGO HII HAPA LIVE!!



1. Mchepuko wa Lami: huu ni ule ambao hauombi pesa, upo njema unajua designer zote, katulia hana mapepe, uwe nae usiwe nae maisha yake yanaendelea.
2. Mchepuko wa Vumbi: huu ni ule ooh sina pesa, naomba vocha, sijui simu imekufa, charge iko low, ooh nipo saloon nadaiwa elfu thelathini nitumie kwa tigopesa, naomba nauli, nadaiwa kodi, mtoto wa shangazi kaja, nrushie dompo, nk. Na hii ndio noma maana njia kuu lazima washtukie mchepuko vumbi unachafua na unasumbua fulltime!
3. Mchepuko kokoto: huu ni mkali zaidi ya njia kuu kila mara huuliza upo wapi? na nani? Why hupokei simu yangu? Nomaaaa!
Baki njia Kuu!
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top