Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AJALI MBAYA TENA YA NOAH YAUA MOROGORO

Hili ni gari la Noah lililopata ajali jana usiku wa saa 8 huko Morogoro Mtaa wa Mazimbu reli ya pili likiwa na vijana wanne ambapo mmoja wao kaaga dunia.
Hii ni nguzo iliyogongwa na gari hilo mara baada ya kuhama njia.Sehemu ya ubavu wa kulia wa gari hilo ukiwa umeharibika vibaya.Upande wa kushoto wa gari hilo.Raia waliokuwa eneo la tukio wakishuhudia ajali iliyotokea.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top