Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AJALI MBAYA YATOKEA ENEO LA MBEZI BEACH KARIBU NA GIRRAFE HOTEL

 


 Gari yenye namba za usajili T 959 BSS iliyosababisha ajali hiyo na Bajaj



 Bajaj ikiwa imejikunja baada ya kugongwa na gari hiyo
  Gari ikiwa imeharibika vibaya

Ajali mbaya imetokea mda huu maeneo ya mbezi beach karibu na Girrafe Hotel ambapo Gari ndogo imegonga bajaj iliyokuwa na watu wawili ndani na inasemekana mtu mmoja amefariki dunia,na pia kuna majeruhi hali zao ni mbaya wanakimbizwa hospitali.Tutakuletea Taarifa kamili
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top