Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

DEREVA ASIYE NA MIKONO AKATAZWA KUENDESHA GARI

                                      

nbnb_95ad9.jpg
Polisi nchini China wamemkamata mtu asiyekuwa na mikono akiendesha gari. Bwana huyo Wo Guo (45) si tu kwamba hakuwa na leseni bali alikuwa akitumia mguu wake wa kulia kubadili gia huku mguu wa kushoto ukikanyaga mafuta na breki.
Msemaji wa polisi amesema: "Ni jambo la ajabu, lakini ni hatari sana kwake kuendesha gari." Polisi huyo amesema itakuwa vyema kama ataajiri dereva wa kumuendesha. Gari la bwana Wo linashikiliwa na polisi ili kumzuia asiendelee kuendesha.
Picha na taarifa kutoka Metro na CEN. (E.L)

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top