Mgeni
Rasmi Waziri wa Nchi,Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Mhe. Dkt. Pindi Chana akifungua rasmi mkutano wa Baraza Kuu la
Wafanyakazi katika Utumishi wa Umma Tanzania Bara mjini Dodoma leo.
Mkurugenzi Idara ya Uendelezaji Sera - Utumishi ambaye pia ni Katibu wa Baraza Kuu la Wafanyakazi katika Utumishi wa Umma Tanzania Bara Bw.Mathias Kabunduguru akimkaribisha Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi,Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mh.Pindi Chana (hayupo pichani) kufungua mkutano wa Baraza hilo lilozinduliwa rasmi mjini Dodoma leo.
Baadhi ya wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi katika Utumishi wa Umma Tanzania
Bara wakimsikiliza Mgeni Rasmi Waziri wa Nchi,Wizara ya Maendeleo ya
Jamii, Jinsia na Watoto Mhe.Pindi Chana (hayupo pichani) wakati wa
ufunguzi wa mkutano wa Baraza hilo mjini Dodoma leo.
Mkurugenzi
Msaidizi - Utumishi Bi. Hilda Kabisa akiwasilisha mada baada ya
ufunguzi wa mkutano wa Baraza Kuu la Wafanyakazi katika Utumishi wa Umma
Tanzania Bara mjini Dodoma leo
Post a Comment