Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Fahamu Alichosema Ben Pol Kuhusu Biashara Ya Muziki Kwenye Mitandao

bEN POL Msanii anaefanya vizuri katika muziki wa R&B Tanzania, Ben Pol ambaye hivi karibuni alianza kuuza kazi yake ya muziki kwa njia ya mtandao amesema biashara hiyo ina matunda yanayotia moyo.
Ben Pol ameeleza hayo alipokuwa anaongea na ENews ya East Africa TV na alifafanua kuwa ingawa Bongo watu hawajawa na muamko sana wa kununua kazi za wasanii online lakini msanii akipromote vizuri kazi yake anaweza kupata hata milioni 6 hadi 7.
“Bado ni hela ndogo kwa albam ya mauzo ya nyimbo 20, bado sio kivile nafikiri pia ni kwa sababu watu wanadownload wanashare for free kwa watu wengini. Lakini kwa sasa hivi kibongobongo unaweza ukauza ukapata milioni 6 au 7.”
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top