Mtangazaji wa Kipindi cha The One Show, Jokate Mwegelo ‘Jojo’ amefunguka kuwa hahusiki na kuvunjika kwa ndoa ya Khadija Shaibu ‘Dida’ kwani ni mshikaji wake na wanaheshimiana.
Akijibu
tuhuma kuwa, yeye anahusika na kuparaganyika kwa ndoa hiyo kufuatia
‘ku-fall in love’ kwa mume wa Dida, Edzen Jumanne ambaye ni mtangazaji
mwenzake, Jokate alisema:
“Yaani watu wanapenda kuungaunga maneno
Post a Comment