Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KUKOSA KOMBE KWAZUA TAFRANI ARGENTINA

 


Polisi wa Argentina wamepambana na waandamanaji katika mji mkuu, Buenos Aires baada ya nchi hiyo kufungwa na Ujerumani katika mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia.
Mapema jana jioni maelfu ya watu walikusanyika katika mnara wa Obelisk jijini humo ili kusherekea licha ya kupoteza mchezo huo.
Hata hivyo, baadaye usiku, hali ilibadilika na vijana kuanza kuwarushia polisi mawe na kuvunja maduka. Watu wasiopungua 50 walikamatwa huku polisi 15 wakijeruhiwa.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top