Aliyemfanyia
tukio hilo ni mumewe aitwaye Shaa na baada ya vidole vyake kupendeza
tena alitupia picha akiwarusha roho mashoga zake na alipoulizwa na
paparazi juu ya pete hizo alisema, mume
wake ndiye aliyeamua kumvisha baada yakuona ni heshima kwa mke wa mtu.
wake ndiye aliyeamua kumvisha baada yakuona ni heshima kwa mke wa mtu.
“Nimejisikia
furaha sana kwani ilikuwa ikininyima raha kuona pete za mume wangu
hazipo tena kidoleni, sasa nina amani tele,” alisema Mai
Post a Comment