Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MTITU: WASTARA ALIMKOSEA MAREHEMU

 



Stori: Emelde Tarimo
BIG boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu amemtolea uvivu msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma kwa kumwambia kuwa, alimkosea sana marehemu Sheila Haule ‘Recho’ kwa kutomzika.
BIG boss wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu

Akizungumza na mwandishi wetu, Mtitu alisema marehemu Recho alikuwa mtu wa kujitoa katika matatizo mbalimbali ukiwemo msiba wa mume wa Wastara, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ lakini alishangaa kutomuona kwenye msibani huo na alipomchana laivu akakasirika na kutangaza bifu.
Staa katika tasnia ya filamu Bongo Wastara, Juma
“Nilimchana laivu kwani alimkosea marehemu, alipaswa kwenda kwani hakuwa na sababu ya kueleweka zaidi ya kwenda bungeni kitu ambacho angeweza kukiacha kikawakilishwa na mtu mwingine,” alisema Mtitu.Kwenye utetezi wake juu ya kutoonekana msibani, Wastara alisema hakuwa na jinsi kwani alikwenda bungeni mjini Dodoma kuwawakilisha wasanii wenzake.
GPL
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top