Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amepokea hati za utambulisho kutoka kwa
mabalozi wanne wanaoziwakilisha nchi zao hapa.Mabalozi waliowasilisha
hati zao leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Balozi Ismail Salem
wa Malaysia,Balozi Georges Aboua wa Cote d’Ivore, Balozi Thony Fred
Balza Arismendi wa Venezuela na Balozi Ahmat Awad Sakine wa Chad.Pchani
mabalozi hao wakiwasilisha hati zao kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
Huku Mkuu wa Itifaki Balozi Mohamed Maharage Juma(Katikati) akishuhudia
na kuongoza hafla hiyo.Mhe.Ismail
Salem Balozi wa Malaysia akiwasilisha hati zake kwa Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Katikati ni Mkuu
wa Itifaki Balozi Mohamed Maharage Juma.
Mhe.Georges Aboua Balozi wa Cote d’Ivore akiwasilisha hati zake kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Katikati ni Mkuu wa Itifaki Balozi Mohamed Maharage Juma.Mhe.Thony Fred Balza Arismendi Balozi wa Venezuela akiwaasilisha hati zake kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Katikati ni Mkuu wa Itifaki Balozi Mohamed Maharage Juma.Mhe Ahmat Awad Sakine Balozi wa Chad akiwasilisha hati zake kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Katikati ni Mkuu wa Itifaki Balozi Mohamed Maharage Juma(picha na Freddy Maro).
Mhe.Georges Aboua Balozi wa Cote d’Ivore akiwasilisha hati zake kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Katikati ni Mkuu wa Itifaki Balozi Mohamed Maharage Juma.Mhe.Thony Fred Balza Arismendi Balozi wa Venezuela akiwaasilisha hati zake kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Katikati ni Mkuu wa Itifaki Balozi Mohamed Maharage Juma.Mhe Ahmat Awad Sakine Balozi wa Chad akiwasilisha hati zake kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Katikati ni Mkuu wa Itifaki Balozi Mohamed Maharage Juma(picha na Freddy Maro).
Post a Comment