Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

RAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA WANAJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV KATIKA MKUTANO WA DIASPORA JIJINI WASHINGTON






Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC


Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC


Viongozi na wanachama wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC


Wajumbe wa Bodi ya Jumuiya ya Watanzania DMV


Rais Kikwete akimsalimia mmoja wa watoto waliokuwepo kumlaki


Rais Kikwete akilakiwa na wanajumuiya


Rais Kikwete, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe, Balozi wa Tanzania Marekani Mhe Liberata Mulamula na Bi Rose Jairo, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora wakijadiliana jambo meza kuu


Sehemu ya wanajumuiya na wageni toka sehemu mbalimbali wakiwa katika mkutano huo


Washiriki wa mkutano huo


Wanajumuiya wakiwa wametulia mkutanoni


Wanajumuiya


Wanajumuiya toka kila kona ya DMV na sehemu mbalimbali za Marekani


Sehemu ya viongozi wa Jumuiya na wanajumuiya


Wote wametulia wakifuatilia kinachoendelea


Wanajumuiya


Wanajumuiya


Wanajumuiya


Sehemu ya nyomi ya wanajumuiya


Wanajumuiya pamoja na baadhi ya viongozi







































































Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bw Charles Singili akiongea na kunadi bidhaa mpya ya Diaspora Banking ambayo benki hiyo imeanzisha











Mwanajumuiya akiomba ufafanuzi wa maswala kadhaa yanayowasibu


Wanajumuiya wakifurahia jambo


Swali toka kwa mwanajumuiya


Wanajumuiya wakisikilia kwa makini kinachoendelea


Mwanajumuiya akiuliza swali


Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akifafanua mambo kadhaa kuhusu Diaspora Banking


Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akiendelea kutoa ufafanuzi


Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank Limited,Bwa.Charles Singili akieleza faida za Diaspora Banking


 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki akiongea


 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki akifafanua jambo


Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV BW Iddi Sandaly akiongea


Rais Kikwete akifafanua jambo. Kushoto ni Mama Salma Kikwete na kulia ni Balozi Mulamula


Mtangazaji wa Clouds FM kipindi cha Power Breakfast Gerald Hand akirekebisha mitambo


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe akifafanua jambo


Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV BW Iddi Sandaly akimtambulisha Bi Rose Jairo, Kaimu Mkurugenzi wa Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa


Nyomi


Mawziri na wabunge waliohudhuria


Sehemu ya waliohudhuria





Rais Kikwete akihuytubia wanajumuiya wa DMV


Hotuba ikiendelea



Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top