Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

USHEMEJI WA DIAMOND NA PETIT MAN NI MURUA MATATA


HESHIMA! Tofauti na ilivyokuwa ikifikiriwa na wengi kwamba hamkubali shemeji yake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameonyesha kumkubali shemeji yake Ahmed Hashimu ‘Petit Man’ hadharani. 
Shemeji wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ Ahmed Hashimu ‘Petit Man’ akiwa na 'waifu tu bi'.Hivi karibuni uvumi uliibuka kuwa Diamond hakufurahishwa na kitendo cha dada’ke kuolewa na Petit ndipo msanii huyo alipoamua kukata ‘vilimilimi’ kwa kusema uvumi huo hauna ukweli katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Oktoba 2, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Golden Jubilee Tower, Posta jijini Dar.
“Kwa bahati mbaya dada yangu Esma anaumwa hajafika humu ndani, sasa kwa kuwa sasa hivi ameolewa na mtu ninayemkubali, namuita mumewe, shemeji yangu ninayemkubali, Petit Man aje kula keki badala yake,” alisikika Diamond.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top