Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Staa mwingine wa muziki anaingia kwenye orodha ya wanaofunga ndoa hivi karibuni.

Wedding
Uchumba, ndoa zote ni taarifa nzuri kuzisikia. Una taarifa kuhusu Nyota Ndogo?
Mwanamuziki huyo kaingia kwenye orodha ya mastaa wanaoelekea kubadilisha status zao baada ya kuvalishwa pete ya uchumba.

Nyota Ndogo ambaye jina lake halisi ni Mwanaisha Abdalla amevalishwa pete hiyo na Henning Neilsen raia wa Denmark baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa zaidi ya miezi tisa.
nyotandogoinside_20140405
Nyota Ndogo amesema ameamka asubuhi na kuvalishwa pete hiyo, anamshukuru Mungu kwa hilo kwani mpenzi wake hampendi yeye peke yake bali anawapenda na watoto wake wawili na anatarajia ndoa yake itakuwa ya kawaida ambayo watu wachache watakaopata nafasi ya kuhudhuria ikiwemo ndugu na marafiki wachache.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top