Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ARSENAL YASHINDA 2-0 LAKIN YATOLEWA LIGI YA MABINGWA


Arsenal wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya AS Monaco wakiwa ugenini. Lakini wametolewa na kushindwa kusonga katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Kilichowang’oa Arsenal ni kupoteza kwa mabao 3-1 katika mechi ya kwanza wakiwa nyumbani Emirates, London.Olvier Giroud na Aaron Ramsey aliyeingia kipindi cha pili ndiyo waliofunga mabao hayo mawili.Juhudi za Arsenal kusaka bao moja litakalowavusha zilishindikana.Monaco licha ya kuwa nyumbani, walishindwa kucheza kwa kiwango kizuri cha ushindani. Hata hivyo, Arsenal hawakuwa katika kiwango cha juu sana kushindwa kuupasua mfumo wa ulinzi wa Wafaransa hao.










Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top