Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BALAAH:WAKAMATWA NA NYAMA YA MBWA ZAIDI YA MIA MOJA



Nchini Thailand wanaume wawili wamekamatwa na nyama ya mbwa zaidi ya mia wakipeleka sokoni.Sheria ya taifa hiyo inakataza uhuzaji wa kitoweo hicho,Ngozi ya mnyama huyo hutumika kutengenezea gloves za kuchezea golf.Kampeni za kuzuia haki za wanyama zimekua zikisaidia kukataza biashara hiyo pamoja na magonjwa yatokanayo na ulaji wa kitoweo hicho.
K
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top