Loading...
Home »
Unlabelled »
Breaking Newsssss ... Wananchi wanachoma moto kituo cha polisi huko Bunju Dar .... Hali ni tete ....
Wananchi
wa Kituo cha Bunju A Dar es Salaam wamechoma kituo cha polisi moto na
kufunga barabara baada ya mwanafunzi kugongwa na Gari katika Eneo hilo.
on Friday, July 10, 2015
Post a Comment