Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MTEMVU ATOWA MISAADA KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM JIJINI DAR ES SALAAM


 

Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu
 Baadhi ya misaada mbalimbali  iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu kwa watu wenye mahitaji maalum.
mwenyekiti wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation , Sitti Mtemvu  akizungumza na walezi wa watu wenye mahitaji maalum, wakati Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu  alipokabidhi misaada ya vitu mbalimbali, vikiwemo vyakula, mafuta ya kula, magodoro na kompyuta ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge huyo.
 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu  akizungumza na walezi wa watu wenye mahitaji maalum, wakati alipokabidhi misaada ya vitu mbalimbali, vikiwemo vyakula, mafuta ya kula, magodoro na kompyuta ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge huyo.
Baadhi ya vitu vilivyo tolewa na  Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu kwa watu wenye mahitaji maalum
Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu akikabidhi misaada kwa Mlezi wa kituo cha Makao ya Taifa ya watoto wenye shida maalum cha kurasini  Beatrice Mgumilo
 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (aliye vaa koti) akipiga makofi baada ya walezi wa vituo mbalimbali  kuomba Yamoto Band waimbe nyimbo moja
Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe (Yamoto Band) akimshukuru Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu
Mbunge wa Jimbo la Temeke na Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu ametoa msaada wa vitu mbalimbali vya nafaka na magodoro pamoja na kompyuta kwa Yamoto Band ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge huyo
Yamoto Band katika  Picha ya pamoja na baadhi ya Watoto wenye mahitaji maalum
Yamoto Band wakisalimia wazazi na watoto wenye mahitaji maalum
PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top