Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein akitoa Mkono wa Iddi
kwa wananchi mbali mbali waliofika viwanja vya Ikulu mjini Unguja leo
katika kusherehekea Sikukuu ya Idd el Fitri,[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed
Shein akizungumza na Viongozi na Mashekhe waliofika Ikulu Mjini Unguja
leo kwa madhumuni ya kupokea mkono wa Idd na kusoma Dua katika Sikukuu
ya Idd el Fitri inayoadhimishwa Duniani kote,[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed
Shein akipokea salamu ya heshma ya gwaride maalum la kikosi cha Polisi
FFU leo wakati wa Baraza la Idd katika Kusherehekea Sikukuu ya Idd el
Fitri, Sherehe za Baraza Idd lilifanyika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini
Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed
Shein akitoa hutuba yake wakati wa sherehe za Baraza la Iddi el Fitri
zilizofanyika leo katika ukumbi wa Salama bwawani Hotel Mjini Unguja,
[Picha na Ikulu.]
Baadhi ya Wake wa Viongozi na wananchi mbali mbali wakisikiliza hutuba ya Rais waZanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein
aliyoitoa leo katika kusherehekea Sikukuu ya Idd elFitri katika ukumbi
wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein(wa
pili kulia) akijumuika na Viongozi na waislamu mbali mbali katika swala
ya Suna ya Idd el Fitri iliyoswaliwa kitaifa leo katika viwanja vya
Maisara Suleiman Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]


Post a Comment