Kila mmoja anayo shahuku ya kujua majina 5 yaliyopitishwa na kamati kuu iliyopangwa kukukatan jana usiku mjini Dodoma.
Taarifa
rasmi zilizotufikia kutoka Dodoma ni kuwa kikao hicho kiliketi na
kuhahirishwa hadi leo asubuhi kutokana na sababu ambazo hazijatajwa
rasmi.
Taarifa
ya CCM ni kuwa leo ijumaa kutakuwa na vikao viwili ambapo kitaketi cha
wanza kupata wateule watano na baadaye halmashauri kuu kukutna na kuteua
watatu miongoni mwao ili majina hayo yapelekwe kwa mkutano mkuu hapo
kesho.


Post a Comment