Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TANO BORA CCM URAIS: HIKI NDICHO KILICHOJIRI KATIKA KIKAO

Kila mmoja anayo shahuku ya kujua majina 5 yaliyopitishwa na kamati kuu iliyopangwa kukukatan jana usiku mjini Dodoma.
Taarifa rasmi zilizotufikia  kutoka Dodoma ni kuwa kikao hicho kiliketi na kuhahirishwa hadi leo asubuhi kutokana na sababu ambazo hazijatajwa rasmi.
Taarifa ya CCM ni kuwa leo ijumaa kutakuwa na vikao viwili ambapo kitaketi cha wanza kupata wateule watano na baadaye halmashauri kuu kukutna na kuteua watatu miongoni mwao ili majina hayo yapelekwe kwa mkutano mkuu hapo kesho.  
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top