Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Huu ndio uthibitisho rasmi kwamba Angel Di Maria kashauzwa kutoka Man United !!

 
Hatimaye sakata la usajili wa kiungo mshambuliaji wa Kiargentina Angel Di Maria limefikia tamati muda mfupi uliopita. 
 Kupitia akaunti rasmi za mitandao ya kijamii ya vilabu vya Manchester United na PSG imethibitishwa rasmi Di Maria ameuzwa.
Di Maria siku chache zilizopita alifuzu vipimo vya afya alivyofanyiwa huko Qatar, Mjini Doha, nyumbani kwa wamiliki wa klabu hiyo.
Winga huyo anategemewa kutambulishwa rasmi leo jioni huko Paris Ufaransa na atasaini mkataba wa miaka minne kuitumikia PSG.

Di Maria
aliyenunuliwa kwa ada ya uhamisho wa Pound Milioni 59.7, anaripotiwa kuuzwa kwenda PSG kwa ada ya Pound Mil. 44 mwaka mmoja baada ya kujiunga na United.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top