Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAJINA YA WALIOTEULIWA UBUNGE, UWAKILISHI NA VITI MAALUM CCM YATANGAZWA RASMI .... IRENE UWOYA APETA

 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akionyesha kitabu cha Ilani ya Uchaguzi ya 2015-2020 ya CCM wakati wa kufunga kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mara baada ya kumaliza zoezi la kupitisha majina ya wagombea Ubunge na Uwakilishi mjini Dodoma.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Dk. Ali Mohamed Shein na kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akipitia orodha ya majina ya waliopendekezwa kwenye nafasi za Ubunge na Uwakilishi,kulia ni Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Mizengo Pinda.
MNEC wa Wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete akipitia kitabu cha ilani ya Uchaguzi ya CCM kitakachotumika kwa mwaka 2015-2020.
 Dk. Salim Ahmed Salim akipitia majina ya walioteuliwa wakatia wa kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma ambapo alitaja majina ya walioteuliwa na zile sehemu chache ambazo uchaguzi utarudiwa na sehemu zingine kufanyiwa uhakiki upya.

CHAMA Cha Mapinduzi kimemaliza vikao vyake vya juu vya kupitia uteuzi wa wagombea ubunge na uwakilishi katika majimbo yote nchini huku majimbo 11 kati ya 240 yaliyopo nchini yakisubiri uamuzi wake kutolewa Agosti 17 na Kamati Kuu maalum ya CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari leo mara baada ya kumalizika kwa kikao cha halmashauri kuu ya CCM (NEC) katibu wa NEC Itikadi na Uenezi ndugu NAPE NNAUYE amesema vikao vimekuwa virefu lakini vyenye mafanikio makubwa nakusema wagombea wote waliochukua fomu ni elfu 2721
Nape-Nnauye
TAARIFA RASMI KWA VYOMBO VYA HABARI
WANACHAMA WA CCM WALIOTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI WA MAJIMBO NA VITI MAALUM KATIKA UCHAGUZI WA MWAKA 2015
NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
1. Arusha Arusha Mjini Arusha Ndugu Philemon Mollel
Karatu Karatu Dkt. Wilbard  Slaa Lorri
Arumeru Arumeru Magharibi Ndugu Loy Thomas ole Sabaya
Arumeru Mashariki Ndugu John Danielson Sakaya (JD)
Longido Longido Dkt. Stephen Lemomo Kiruswa
Monduli Monduli Ndugu Namelock Edward Sokoine
Ngorongoro Ngorongoro Ndugu William Tate ole Nasha
2. Dar es Salaam Ilala Ukonga KURA ZINARUDIWA
Ilala Ndugu Zungu Mussa Azzan
Segerea Ndugu Bonna Mosse Kaluwa
Temeke Temeke Ndugu Abasi Zuberi Mtemvu
Kigamboni Dkt. Faustine Engelbert Ndugulile
Mbagala Ndugu Issa Ally A. Mangungu
Kinondoni Kawe Ndugu Kippi Ivor Warioba
Ubungo Dkt. Didas John Masaburi
Kibamba Dkt. Fenela E. Mkangala
Kinondoni Ndugu Iddi Azzan
3 Dodoma Chemba Chemba Ndugu Juma Selemani Nkamia
Bahi Bahi Ndugu Omar Ahmed Badwel
Mpwapwa Kibakwe Ndugu George Boniface Simbachawene
Mpwapwa Ndugu George Malima Lubeleje
Chamwino Mtera Ndugu Livingstone Joseph Lusinde
Chilonwa KURA ZINARUDIWA
Dodoma Mjini Dodoma Mjini Ndugu Antony Peter Mavunde

NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
    Kongwa Kongwa Ndugu Job Y. Ndugai


Kondoa Kondoa Mjini Ndugu Sanda Edwin
Kondoa  Vijijini Dkt.  Ashatu Kijaji
4. Geita Geita Geita Mjini Ndugu Costantine John Kanyansu
Geita Vijijini Ndugu Joseph Lwinza Kasheku
Busanda Ndugu Lolensia Masele Bukwimba
Mbogwe Mbogwe Ndugu Augustino Manyanda Massele
Bukombe Bukombe Ndugu Doitto Mashaka Biteko
Chato Chato Dkt. Medard Matogolo Kalemani

Nyangwale Ndugu Hussein Nassor Amar
5..  Iringa Iringa Mjini Iringa Mjini Ndugu Mwakalebela Fredrick Wilfred
Iringa Vijijini Isimani Ndugu William Vangimembe Lukuvi
Kalenga Ndugu Godfrey William Mgimwa
Kilolo Kilolo KURA ZINARUDIWA
Mufindi Mufindi Kaskazini Ndugu Mahmoud  Hassan Mgimwa
Mufindi Kusini Ndugu Mendrad  Lutengano Kigola
Mafinga Mjini Ndugu Cosato David Chumi
6 Kagera Bukoba Mjini Bukoba Mjini Balozi Khamis Sued Kagasheki    
Bukoba Vijijini Bukoba Vijijini Ndugu Jasson Samson Rweikiza
Biharamulo Biharamulo Ndugu Osca Rwegasira Mkassa
Karagwe Karagwe Ndugu Innocent Luugha Bashungwa
Kyerwa Kyerwa Ndugu Innocent Sebba Bilakwate
Muleba Muleba Kaskazini Ndugu Charles John Mwijage
Muleba Kusini Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka
Misenyi Nkenge Ndugu Diodorus Buberwa Kamala
Ngara Ngara Ndugu Alex Raphael Gashaza

NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
7. Katavi Mpanda Mpanda Mjini Ndugu Sebastian Simon Kapufi
Mpanda Vijijini Ndugu Moshi Selemani Kakoso
Mlele Katavi Ndugu Issack Aloyce Kamwele
Nsimbo Ndugu Richard Philip Mbogo
Kavuu Dkt. Pudenciana Wilfred Kikwembe
8. Kigoma Kakonko Buyungu Eng. Christopher K. Chiza
Kibondo Muhambwe Eng. Atashasta Nditye
Kasulu Kasulu Mjini Ndugu Daniel Nsanzugwanko
Kasulu Vijijini Ndugu Augustino Vuma Holle
Buhigwe Manyovu Ndugu Albert Obama Ntabaliba
Kigoma Mjini Kigoma Mjini Ndugu Amani Walid Kabourou
Kigoma Vijijini Kigoma Kaskazini Ndugu Peter Joseph Serukamba
Uvinza Kigoma Kusini Ndugu Hasna Sudi Mwilima
9. Kilimanjaro Hai Hai Ndugu Danstan Lucas Mallya
Siha Ndugu Aggrey Deaidile Mwanri
Moshi Mjini Moshi Mjini Ndugu Mosha Davis Elisa
Mwanga Mwanga Profesa Jumanne A. Maghembe
Same Same Mashiriki Ndugu Anne Kilango Malecela
Same Magharibi Ndugu David Mathayo David
Moshi Vijijini Moshi Vijijini Dkt. Cyril August Chami
Vunjo Ndugu Innocent Melleck Shirima
Wilaya Rombo Ndugu Sanje Samora Colman
10. Lindi Ruangwa Ruangwa Ndugu Majaliwa Kassim Majaliwa
Liwale Liwale Ndugu Faith Mohamed Mitambo
Nachingwea Nachingwea Ndugu Hassan Elias Masala

NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
    Lindi Vijijini Mtama Ndugu Nape Moses Nnauye
Mchinga Ndugu Said Mohamed Mtanda
Lindi Mjini Lindi Mjini Ndugu Hassan Seleman Kaunje
Kilwa Kilwa Kusini Ndugu Hasnain Gulamabas Dewji
Kilwa Kaskazini Ndugu Murtaza Ally Mangungu
11. Mara Bunda Bunda Mjini Ndugu Steven Masatu Wasira
Mwibara Ndugu Kangi Alphaxard Lugola
Bunda Vijijini Ndugu Boniface Mwita Getere
Tarime Tarime Ndugu Christopher Ryoba Kangoye
Tarime  Mjini Ndugu Michael Mwita Kembaki
Serengeti Serengeti Dkt. Steven Kebwe Kebwe
Butiama Butiama Ndugu Nimrod Elirehemah Mkono
Butiama Vijijini Prof. Sospeter Mwinjarubi Muhongo
Rorya Rorya Ndugu Lameck Okambo Airo
Musoma Mjini Musoma Mjini Ndugu Vedastus Mathayo Manyinyi
12. Manyara Babati Mjini Babati Mjini Ndugu Kisyeri Chambiri
Babati Vijijini Babati Vijijini Ndugu Jittu Vrajilal Son
Hanang’ Hanang’ Dkt. Mary Michael Nagu
Kiteto Kiteto Litaamuliwa na Kikao Kijacho cha Kamati Kuu
Mbulu Mbulu Mjini Ndugu Zacharia  Paulo Issaay
Mbulu Vijijini Ndugu Fratei Gregory Massay
Simanjiro Simanjiro Ndugu Christopher Olonyhokie Ole Sendeka
13. Mbeya Mbeya Mjini Mbeya Mjini Ndugu Sambwee Shitambala Mwalyego
Mbeya Vijijini Mbeya Vijijini Ndugu Oran M. Njeza
Mbarali Mbarali Ndugu Haroon Mullah Pirmohamed

NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
    Rungwe Rungwe Ndugu Sauli Henry Amon
Busokelo Ndugu Atupele Fredy Mwakibete
Ileje Ileje Ndugu Janeth Zebedayo Mbene
Mbozi Mbozi Ndugu Weston Godfrey Zambi
Vwawa Ndugu Ngailonga Josephat Kasunga
Momba Momba Ndugu Luca Jelas Siyame
Tunduma Ndugu Frank Mastara Sichalwe
Chunya Lupa Ndgu Victor Mwambalaswa
Songwe Ndugu Philip A. Mulugo
Kyela Kyela Dkt. Harrison George Mwakyembe
14. Morogoro Morogoro Mjini Morogoro Mjini Ndugu Abood Mohamed Abdul Aziz
Morogoro Vijijini Morogoro Kusini Ndugu Prosper Joseph Mbena
Morogoro Kusini Mashariki Ndugu Omar Tibweta Mgumba
Gairo Gairo Ndugu Ahmed Shabiby
Mvomero Mvomero Ndugu Suleiman Ahmed Saddiq
Mikumi Ndugu Jones Estomih Nkya
Kilombero Kilombero Ndugu Abubakar Damian Asenga
Mlimba Ndugu Godwin Emmanuel Kunambi
Ulanga Ulanga Mashariki Ndugu Celina Ompeshi Kombani
Ulanga Magharibi Dkt. Hadji Mponda
Kilosa Kilosa Ndugu Mbaraka Salum Bawazir
15. Mtwara Mtwara Mjini Mtwara Mjini Ndugu Hasnen Mohamed Murji
Nanyamba Ndugu Abdallah Dadi Chikota
Mtwara Vijijini Mtwara Vijijini Ndugu Hawa Abdulhaman Ghasia
Tandahimba Tandahimba Ndugu Shaibu Salum Likumbo

NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
    Newala Newala Mjini Ndugu George Huruma Mkuchika
Newala Vijijini Ndugu Rashid Ajali Akbar
Nanyumbu Nanyumbu Ndugu William Dua Mkurua
Masasi Ndanda Ndugu Mariam Reuben Kasembe
Masasi Ndugu Chuachua Mohamed Rashid
Lulindi Ndugu Jerome Dismas Bwanausi
16. Mwanza Ilemela Ilemela Ndugu Angelina Sylvester Lubala Mabula
Nyamagana Nyamagana Ndugu Stanslaus S. Mabula
Kwimba Kwimba Ndugu Mansoor Shanif Hiran
Sumve Ndugu Richard Maganga Ndassa
Misungwi Misungwi Ndugu Charles Mhangwa Kitwanga
Magu Magu Ndugu Boniventura Desdery Kiswaga
Sengerema Sengerema Ndugu William Mganga Ngeleja
Buchosa Dkt. Charles John Tzeba
Ukerewe Ukerewe Ndugu Christopher Nyandiga
17. Njombe Njombe Kusini Njombe Kaskazini Ndugu Joram Hongoli
Njombe Kusini Litaamuliwa na Kikao Kijacho cha Kamati Kuu
Wanging’ombe Makambako Ndugu Deo Kasenytenbda Sanga
Wanging’ombe Nduguy Gerson Hosea Lwenge
Ludewa Ludewa Ndugu Deo Filikunjombe
Makete Makete KURA ZINARUDIWA
18. Pwani Bagamoyo Bagamoyo Dkt. Shukuru Kawambwa
Chalinze Ndugu Ridhiwani J. Kikwete
Kibaha  Kibaha Mjini Ndugu Sylvester Francis Koka
Kibaha Vijijini Ndugu Hamoud Abuu Jumaa
   
NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA


Kisarawe Kisarawe Ndugu Selemani Said Jaffo
Mafia Mafia Ndugu Mbaraka K. Dau
Mkuranga Mkuranga Ndugu Abdallah H. Ulega
Rufiji Rufiji KURA ZINARUDIWA
Kibiti Kibiti Ndugu Ally Seif Ungando
19. Rukwa Sumbawanga Mjini Sumbawanga Mjini Ndugu Aeshi Khalfan Hilaly
Nkansi Nkansi Kaskazini Ndugu Ally Mohamed Kessy
Nkansi Kusini Ndugu Deuderit John Mipata
Sumbawanga Vijijini Kwela Ndugu Ignas Aloyce Malocha
Kalambo Kalambo Ndugu Josephat Sinkamba Kandege
20. Ruvuma Songea Mjini Songea Mjini Ndugu Leonidas Tutubert Gama
Nyasa Nyasa Ndugu Eng. Stella Martin Manyanya
Tunduru Tunduru Kaskazini Ndugu Ramo Matala Makani
Tunduru Kusini Ndugu Daimu Iddi Mpakate
Songea Vijijini Peramiho Ndugu Jenister Joakim Mhagama
Madaba Ndugu Joseph Kisito Mhagama
Namtumbo Namtumbo KURA ZINARUDIWA
Mbinga Mbinga Mjini Ndugu Sixtus Raphael Mapunda
Mbinga Vijijini KURA ZINARUDIWA KATA MBILI
21. Simiyu Bariadi Bariadi Magharibi Ndugu Andrew John Chenge
Itilima Bariadi Mashariki (Itilima) Ndugu Njalu Daudi Silanga
Meatu Meatu Ndugu Salum Khamis Salumu
Kisesa Ndugu Luhanga Joelson Mpina
     
NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA


Busega Busega KURA ZINARUDIWA
Maswa Maswa Mashariki Ndugu Stanslaus Haroun Nyongo
Maswa Magharibi Ndugu Mashimba Mashauri Ndaki
22. Singida Singida Singida Mjini Ndugu Ramadhani Sima
Singida Kaskazini Ndugu Lazaro Nyalandu
Mkalama Iramba Mashariki Ndugu Joseph Allan Kiula
Iramba Iramba Magharibi Ndugu Mwigulu Lamech Nchemba
Manyoni Manyoni Magharibi Ndugu Yahya Omari Masare
Manyoni Mashariki Ndugu Daniel Edward Mtuka
Ikungi Singida Mashariki Litaamuliwa na Kikao Kijacho cha Kamati Kuu
Singida Magharibi Ndugu Elibariki Emmanuel Kingu
23. Shinyanga Shinyanga Mjini Shinyanga Mjini Ndugu Steven Masele
Shinyanga Vijijini Solwa Ndugu Ahmed Ally Salum
Kishapu Kishapu Ndugu Suleiman Masoud Nchambi  
Kahama Msalala Ndugu Ezekiel Magolyo Maige
Ushetu  Ndugu  Elias John Kwandikwa     
Kahama Mjini Ndugu Kishimba Jumanne Kibera
24. Tabora Tabora Mjini Tabora Mjini Ndugu Emmanuel Mwakasaka
Uyui Igalula Ndugu Ntimizi  Rashidi Mussa
Kaskazini Uyui Ndugu Maige Athumani Almas
Sikonge Sikonge Ndugu George Joseph Kakunda
Urambo Urambo Ndugu Margareth Samwel Sita
Kaliua Kaliua Profesa Juma Athuman Kapuya
       
NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA



Ulyankulu Ndugu John Peter Kadutu
Nzega Nzega Mjini Ndugu Hussein Mohamed Bashe
Bukene Ndugu Suleiman Juma Zedi
Nzega Vijijini Dkt. Hamis Andrea Kigwangala
Igunga Igunga Dkt Dalaly Peter Kafumu
Manonga Ndugu Seif Hamis Said
25. Tanga Tanga Mjini Tanga Mjini Ndugu Omari Rashid Nundu
Lushoto Lushoto Ndugu Shabani Omari Shekilindi
Bumbuli Ndugu Januari Yusuf Makamba
Mlalo Ndugu Rashid Abdakkag Shangazi
Pangani Pangani Ndugu Jumaa Hamidu Aweso
Kilindi Kilindi Ndugu Omari Mohamed Kigua
Mkinga Mkinga Ndugu Danstan Luka Kitandula
Handeni Handeni Mjini Dkt. Abdallah Omar Kigoda
Handeni Vijijini Ndugu Mboni Mohamed Mhita
Muheza Muheza Balozi  Adadi Mohamed Rajabu
Korogwe Korogwe Mjini Ndugu Mary Pius Chatanda
Korogwe Vijijini Ndugu Stephen Hillary Ngonyani
                  ORODHA YA MAJIMBO YA UCHAGUZI 2015 UBUNGE - ZANZIBAR
NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
1. Kaskazini Pemba Wete Gando Ndugu Salim Bakar Issa
Kojani Ndugu Masoud Ali Moh’d
Mgogoni Ndugu Issa Juma Hamad
Mtambwe Ndugu Khamis Seif Ali
Wete Dkt. Abdalla Saleh Abdalla
Micheweni Micheweni Ndugu Khamis Juma Omar
Tumbe Ndugu Rashid Kassim Abdalla
Konde Ndugu Ramadhan Omar Ahmed
Wingwi Ndugu Khamis Shaame Hamad
2. Kaskazini Unguja Kaskazini “A” Chaani Ndugu Khamis Yahya Machano
Kijini Ndugu Makame Mashaka Foum
Mkwajuni Ndugu Khamis Ali Vuai
Nungwi Ndugu Mustafa Makame Hamadi
Tumbatu Ndugu Juma Othman Hija
Kaskazini “B” Bumbwini Ndugu Mbarouk Juma Khatib
Donge Ndugu Sadifa Juma Khamis
Kiwengwa Ndugu Khamis Mtumwa Ali
Mahonda Ndugu Bahati Ali Abeid
3. Kusini Pemba Chake Chake Chake Chake Ndugu Mbaraka Said Rashid
Chonga Ndugu Abdalla Omar Muya
Ole Ndugu Omar Mjaka Ali
Wawi Ndugu Daud Khamis Juma
Ziwani Ndugu Mohamed Othman Omar
         
NA. MKOA   JIMBO ALIYETEULIWA
    Mkoani Chambani Ndugu Moh’d Abdulrahman Mwinyi
Kiwani Ndugu Rashid Abdulla Rashid
Mkoani Prof. Makame Mnyaa Mbarawa
Mtambile Ndugu Khamis Salum Ali
4. Kusini Unguja Kati Chwaka Ndugu Bhagwanji Meisuria (Mshamba)
Tunguu Ndugu Khalifa Salum Suleiman
Uzini Ndugu Salum Mwinyi Rehani
Kusini Makunduchi Ndugu Haji Ameir Haji (Timbe)
Paje Ndugu Jaffar Sanya Jussa
5. Magharibi Dimani Dimani Ndugu Hafidh Ali Tahir
Chukwani
Fuoni Ndugu Abass Ali Hassan
Kiembesamaki Ndugu Ibrahim Hassanali Mohamed
Kijitoupele Ndugu Shamsi Vuai Nahodha
Mwanakwerekwe Ndugu Ahmada Yahya Abdulwakil (Shaa)
Mfenesini Bububu Ndugu Mwantakaje Haji Juma
Mfenesini Col. Mst. Masoud Ali Khamis
Welezo Ndugu Saada Mkuya Salum
Mwera Ndugu Makame Kassim Makame
6. Mjini Amani Amani Ndugu Mussa Hassan Mussa
Chumbuni Ndugu Ussi Salum Pondeza
Magomeni Ndugu Jamal Kassim Ali
Mpendae Ndugu Salim Hassan Turkey
Shaurimoyo Ndugu Matar Ali Salum

NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA


Mjini Jang’ombe Ndugu Ali Hassan Omar (King)
Kikwajuni Ndugu Hamad Yussuf Masauni
Kwahani Dr. Hussein Ali Mwinyi
Malindi Dkt. Abdulla Juma Abdalla
  ORODHA YA MAJIMBO YA UCHAGUZI 2015 BARAZA LA WAWAKILISHI - ZANZIBAR
NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
1. Kaskazini Pemba Wete Mgogoni Ndugu Shehe Hamad Matar
Gando Ndugu Maryam Thani Juma
Kojani Ndugu Makame  Said Juma
Mtambwe Ndugu Khadija Omar Kibano
Wete Ndugu Harusi Said Suleiman
Micheweni Micheweni Ndugu Shamata Shaame Khamis
Tumbe Ndugu Ali Khamis Bakar
Konde Ndugu Omar Seif Abeid
Wingwi Ndugu Said Omar Said
2. Kaskazini Unguja Kaskazini “A” Chaani Ndugu Nadil Abdul-Latif Jussa
Kijini Ndugu Juma Makungu Juma
Mkwajuni Ndugu Ussi Yahaya Haji
Nungwi Ndugu Ame Haji Ali
Tumbatu Ndugu Haji Omar Kheri
Kaskazini “B” Bumbwini Ndugu Mtumwa Peya Yussuf
Donge Dkt. Khalid Salum Mohamed
Kiwengwa Ndugu Asha Abdalla Mussaa
Mahonda Balozi Seif Alli Iddi
   
NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
3. Kusini Pemba Chake Chake Chake Chake Ndugu Suleiman Sarhan Said
Chonga Ndugu Shaibu Said Ali
Ole Ndugu Mussa Ali Mussa
Wawi Ndugu Hamad Abdalla Rashid
Ziwani Ndugu Suleiman Makame Ali
4.   Mkoani Chambani Ndugu Bahati Khamis Kombo
Kiwani Ndugu Mussa Foum Mussa
Mkoani Ndugu Mmanga Mjwengo Mjawiri
Mtambile Ndugu Moh’d Mgaza Jecha
5. Kusini Unguja Kati Chwaka Ndugu Issa Haji Ussi
Tunguu Ndugu Simai Mohamed Said
Uzini Ndugu Mohamedraza H. Dharamsi
Kusini Makunduchi Ndugu Haroun Ali Suleiman
Paje Ndugu Jaku Hashim Ayoub
6. Magharibi Dimani Chukwani Ndugu Mwanaasha Khamis Juma
Dimani Dkt. Mwinyihaji Makame Mwadini
Fuoni Ndugu Yussuf Hassan Iddi
Kiembe Samaki Ndugu Mahmoud Thabit Kombo
Kijitoupele Ndugu Ali Suleiman Ali (Shihata)
Mwanakwerekwe Ndugu Abdalla Ali Kombo
Pangawe Ndugu Khamis Juma Mwalim
Mfenesini Bububu Ndugu Masoud Abraham Masoud
Mfenesini  Ndugu Machano Othman Said
Mtoni Ndugu Hussein Ibrahim Makungu
Mtopepo Dkt. Makame Alli Ussi
Welezo Ndugu Hassan Khamis Hafidh
Mwera Ndugu Mihayo Juma N’hunga
       
NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA
6. Mjini Amani Amani Ndugu Rashid Ali Juma
Chumbuni Ndugu Miraji Khamis Mussa
Magomeni Ndugu Rashid Makame Shamsi
Mpendae Ndugu Mohamed Said Mohamed (Dimwa)
Shaurimoyo Ndugu Hamza Hassan Juma
Mjini Jang’ombe Ndugu Abdalla Maulid Diwani
Kikwajuni Ndugu Nassor Salum Ali (Jazeera)
Kwahani Ndugu Ali Salum Haji
Malindi Ndugu Mohamed Ahmada Salum
                                                              WABUNGE WA MIKOA WALIOTEULIWA KUPITIA JUMUIYA – UWT    
NA. MKOA JINA
1 Arusha Ndugu Catherine Valentine Magige


Ndugu Vailet Charles Mfuko
2 Dar es Salaam Ndugu Mariam Nassoro Kisangi


Ndugu Janeth Mourice Massaburi
3 Dodoma Ndugu Felister Aloyce Bura


Ndugu Fatuma Hassan Toufiq
4 Geita Ndugu Vicky Paschal Kamata


Ndugu Josephina Tabitha Chagula
5 Iringa Ndugu Rose Cyprian Tweve


Ndugu Ritha Enespher Kabati
6 Katavi Ndugu Taska Restuta Mbogo


Ndugu Anna Richard Lupembe
7 Kagera Ndugu Bernadetha Kasabango Mushashu


Ndugu Oliva Daniel Semuguruka
8 Kigoma Ndugu Josephine Johnson Genzabuke


Ndugu Philipa Geofrey Mturano
9 Kilimanjaro Ndugu Shally Josepha Raymond


Ndugu Betty Eliezer Machangu
10 Lindi Ndugu Hamiuda Miohamed Abdallah


Ndugu Tecla Mohamed Ungele
11 Mara Ndugu Agnes Mathew Wambura


Ndugu Christina Mwema Samo
12 Manyara Ndugu Martha Jachi Umbulla


Ndugu Esther Alexander Mahawe
13 Mbeya Dr. Mary Machuche


Ndugu Mary Obadia Mbwilo
14 Morogoro Ndugu Christine Gabriel Ishengoma


Ndugu Sarah Msafiri Ally
15 Mtwara Ndugu Anastazia James Wambura


Ndugu Agness Elias Hokororo
16 Mwanza Ndugu Kemirembe Julius Lwota


Ndugu Kiteto Zawadi Konshuma
         
NA. MKOA WILAYA
17 Njombe  Ndugu Susan Alphonce Kolimba
Ndugu Neema William Mgaya
18 Pwani Ndugu Zaynab Matitu Vullu


Ndugu Subira Khamis Mgalu
19 Rukwa Ndugu Bupe Nelson Mwakang’ata


Ndugu Silafu Jumbe Maufi
20 Ruvuma Ndugu Jacqueline Ngonyani Msongozi


Ndugu Sikudhan Yassini Chikambo
21 Simiyu Ndugu Esther Lukago Midimu


Ndugu Leah Jeremia Komanya

Songwe Ndugu Juliana Daniel Shonza


Ndugu Neema Gerald Mwandabila
22 Singida Ndugu Aisharose Ndogholi Matembe


Ndugu Martha Moses Mlata
23 Shinyanga Ndugu Lucy Thoma Mayenga


Ndugu Azza Hillal Hamad
24 Tabora Ndugu Munde Tambwe Abdallah


Ndugu Mwanne Ismail Mchemba
25 Tanga Ndugu Ummy Ally Mwalimu


Ndugu Sharifa O. Abebe
                                    WABUNGE WA MIKOA WALIOTEULIWA KUPITIA JUMUIYA YA UWT - ZANZIBAR  
NA. MKOA JINA
1 Kaskazini Pemba Ndugu Maida Hamad Abdalla
Ndugu Asya Sharif Omar
2 Kaskazini Unguja Ndugu Angelina Adam Malembeka
Ndugu Mwanajuma Kassim Makame
3 Kusini Pemba Ndugu Faida Moh’d Bakar
Ndugu Asha Moh’d Omar
4 Kusini Unguja Ndugu Asha Mshimba Jecha
Ndugu Mwamtum Dau Haji
5 Magharibi Ndugu Tauhida Cassian Galos
Ndugu Kaukab Ali Hassan
6 Mjini Unguja Ndugu Fakharia Shomar Khamis
Ndugu Asha Abdallah Juma
    WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI – VITI MAALUM – ZANZIBAR  
NA. MKOA JINA
1 Kaskazini Pemba Ndugu Bihindi Hamad Khamis
Ndugu Choum Kombo Khamis
2 Kaskazini Unguja Ndugu Panya Ali Abdalla
Ndugu Mtumwa Suleiman Makame
3 Kusini Pemba Ndugu Shadya Moh’d Suleiman
Ndugu Tatu Moh’d Ussi
4 Kusini Unguja Ndugu Salma Mussa Bilali
Ndugu Wanu Hafidh Ameir
5 Magharibi Ndugu Mwanaidi Kassim Mussa
Ndugu Amina Iddi Mabrouk
6 Mjini Ndugu Mgeni Hassan Juma
Ndugu Saada Ramadhan Mwendwa
                        WABUNGE WA WALIOTEULIWA KUPITIA MAKUNDI MENGINE  
NA. Kundi WALIOTEULIWA
1. Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Ndugu Halima Abdallah Bulembo
Ndugu Zainabu Athuman Katimba
Ndugu Mariamu Dittopile Mzuzuri
Ndugu Maria Ndilla Kangoye
Ndugu Sophia Mfaume Kizigo
Ndugu Irine Uwoya
UVCCM - ZANZIBAR Ndugu Khadija Nassir Ali
Ndugu Munira Mustafa Khatibu
Ndugu Nadra Juma Mohamed
Ndugu Time Bakar Sharif
2. Jumuiya ya WAZAZI Ndugu Najma Murtaza Giga   -    Tanzania Zanzibar)
Ndugu Zainabu Nuhu Mwamwindi  - (Tanzania Bara)
3. Walemavu Ndugu Stella Alex Ikupa
Ndugu Amina Saleh Mollel
4. Vyuo Vikuu Ndugu Jasmin Tisekwa Bunga
Ndugu Esther Michael Mmasi
5. NGO’s Mchungaji Getrude P. Rwakatare
Ndugu Khadija Hassan Aboud
6. Wafanyakazi Ndugu Angelina Jasmin Kairuki
Ndugu Hawa Mchafu Chakoma


Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top