![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhi2ksbU20nMxWMxmjSz-uXaUczHATOR6E14k-mxfMQ7oLPwzd65R1XronhqkVcH6i6Ve0M0yQoDI9fRkykYyRmlv67wPNoyjzkLgaUx7wIxNRhqTWWLnAnl5lF1ZsKShkSR1EmHW_dQR8/s320/1.jpg)
Akizungumza
na mwandishi wetu, Shilole alisema kuwa adhabu aliyopewa ni kubwa mno
kiasi ambacho anashindwa kuelewa kwa kuwa sanaa ndiyo kazi inayompatia
kula na hata kuwasomesha watoto wake hivyo kumfungia mwaka mzima ni kama
kumtuma kutembea hata na waume za watu ili maisha yake yazidi kusonga
mbele.
“
Mimi naona sasa wananituma kuanza kusaka waume za watu kwa kweli kwa
sababu mwaka mzima kweli na ni kazi ambayo naitegemea kwa kila kitu
katika maisha yangu kwa nini mtu usiwaze vitu vingine kama huna kazi ya
kufanya jamani, yaani inaniuma sana,” alisema Shilole.
Post a Comment