Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

VIGOGO ZAIDI WA CCM NA SERIKALI WAZIDI KUIKIMBIA CCM NA KUJIUNGA NA CHADEMA


Waliojiunga na CHADEMA ARUSHA :

1.Lawrence Masha anakabidhiwa kadi na Mbowe (waziri w zamani wa mambo ya ndani)

2.Daniel Porokwa - katibu wa ccm Manyara
3.Robinson Mwenyekiti wa uv ccm Arusha
4.Sioi Sumari (huyu alikuwa mshindani wa Joshua Nassari Arumeru Mashariki nadhani mnamkumbuka)
5.Yona Nko aliyekuwa mkiti ccm mkoa Arusha
6.Mgombea ubunge Simanjiro
7.Goodluck Sipira katibu wa ccm Arusha anatokea
Longido
8.Wazee wa kimila wa kimasai nchi nzima
9.Wazee wa kimila wa kimeru wote wakiongozwa
na Mshili Mkuu.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top