Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MPINZANI WA NAPE, SELEMANI MATHEW HAKAMATIKI JIMBO LA MTAMA



Mgombea ubunge wa Ukawa jimbo la Mtama, Suleiman Mathew kupitia Chadema akiwa amebebwa juu na wafuasi wake wakati akiingia katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Sokoni mkoani Lindi, uliohutubiwa na mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji. 
Mgombea ubunge wa Ukawa jimbo la Mtama, Suleiman Mathew kupitia Chadema akiwa amebebwa juu na wafuasi wake wakati akiingia katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Sokoni mkoani Lindi, uliohutubiwa na mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji.
Mfuasi wa Ukawa akishangilia wakati wa mkutano wa kampeni katika jimbo la Mtama mkoani Lindi.
Mgombea wa Ukawa kupitia Chadema katika jimbo la Mtawa, Suleiman Mathew.
Wafuasi wa Ukawa wakiwa na mabango yao.
Wafuasi wa Ukawa wakishangilia.
Wafuasi wa Ukawa wakishangilia.
Wafuasi wa mgombea wa Ukawa jimbo la Mtama kupitia Chadema, Seleman Mathew wakimsindikiza mgombea huyo huku wakiwa juu ya gari yake wakati akiwasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Sokoni mkoani Lindi, uliohutubiwa na mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji. 
Wafuasi wa mgombea wa Ukawa jimbo la Mtama kupitia Chadema, Seleman Mathew wakimsindikiza mgombea huyo.
Wafuasi wa mgombea wa Ukawa jimbo la Mtama kupitia Chadema, Seleman Mathew wakimsindikiza mgombea huyo huku wakiwa juu ya gari yake wakati akiwasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Sokoni mkoani Lindi, uliohutubiwa na mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji.
 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top