Msanii
maarufu nchini Afrika Kusini, K.O akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya ziara ya ktembelea vyombo mbalimbali vya habari hasa Televisheni na Redio na kuangalia mziki wa hapa nchini katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.

Msanii
maarufu nchini Afrika Kusini,K.O (Katikati) akizungumza na waandishi wa
habari (hawapo pichani) juu ya ziara yake nchini leo jijini Dar es
Salaam,Kushoto ni Tsholofelo Moremedi wa Cashtime Life Menagement na Kulia Afisa Mtendaji Mkuu wa Cashtime Life, Thabiso Khati.


Post a Comment